Boniphace Jacob asema wabadhirifu fedha za umma wachukuliwe hatua, akiichambua ripoti ya CAG
“Wakati mwingine tunalalamika barabara mbovu, mitaro hakuna, watu wanakaa chini kumbe hizi halmashauri zinabaki na fedha ambazo wanaona hawana matumizi yake,” amesema Jacob.